21/08/2026
TAARIFA MUHIMU: SAFARI ZOTE ZAHAMIA MAGUFULI TERMINAL! π’πβ¨
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu wote kuwa, kwa kuzingatia maelekezo ya serikali na mamlaka za usafirishaji, mabasi yetu yote sasa yataanza kuondoka na kuwasili rasmi katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal - Mbezi Luisi). π
Ili kuhakikisha unastarehe na hupati usumbufu wowote wa usafiri:
β’ Ofisi Zetu Za Mjini Zinaendelea Kuhudumia:
Ofisi zetu zote za katikati ya mji zitaendelea kuwa wazi k**a kawaida kutoa huduma za kukata tiketi, mizigo na vifurushi (parcels), pamoja na ushauri na maswali. π¬π¦
β’ Usafiri wa Bure wa Mini-Bus (Shuttle Service):
Tumetenga mini-bus maalum kwa ajili ya kuwasafirisha abiria wetu wote waliokata tiketi kutoka ofisi zetu za mjini moja kwa moja hadi Kituo cha Magufuli bila gharama ya ziada! ππ
Tunawashukuru sana kwa uaminifu na ushirikiano wenu unapoendelea kusafiri kistaa na The Ultimate Comfort Leader. β€οΈβ¨
π Tovuti: mozaico.co.ke
π² Mawasiliano na Msaada Zaidi:
β’ π°πͺ π Kenya: +254 738 821 122
β’ πΉπΏ π Tanzania: +255 662 238 757
β’ πΊπ¬ π Uganda: +256 749 358 809
β’ π¬ WhatsApp: +254 103 702 528 | +254 738 821 122 | +255 797 107 901 | +256 702 567 354