Safari Bora Tanzania

Safari Bora Tanzania HATUTOI AJIRA❌
KWA MATANGAZO MBALIMBALI NJOO DM Page inajuhusisha na uuzaji wa nguo kwa bei nzuri sana jumla na rejareja

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewapa wamiliki na waendeshaji wa Kampuni za Mabasi makubwa ya Mikoani...
11/08/2026

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewapa wamiliki na waendeshaji wa Kampuni za Mabasi makubwa ya Mikoani wiki moja kuhakikisha wanaanza kurejesha huduma zao katika Stendi ya Magufuli, isipokuwa kampuni 6 ambazo tayari zina vibali vya kushushia kati kati ya mji, ikiwa ni hatua ya Serikali kupunguza msongamano wa magari katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Akizungumza na Waandishi wa Habari, Chalamila amesema mabasi hayo yanapaswa kuanzia na kumalizia safari katika Kituo cha Magufuli, badala ya kuingia katikati ya jiji kwa ajili ya kupakia na kushusha abiria.

Amesema wamiliki na waendeshaji wa mabasi hayo wanapaswa kutumia muda kuanzia sasa hadi Agosti 17, 2026 kuhakikisha magari yao yanaanza kutumia Stendi ya Magufuli, huku utekelezaji wa utaratibu huo ukianza rasmi baada ya tarehe hiyo.

Kwa mujibu wa Chalamila, abiria wanaofikishwa Stendi ya Magufuli wataendelea na safari zao kuelekea maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa ndani, ikiwemo mabasi ya mwendokasi, daladala, bajaji na pikipiki au 'shuttle' ambazo zitatolewa na kampuni za mabasi husika

Chalamila amesema hatua hiyo pia inalenga kulinda fursa za ajira na biashara kwa waendeshaji wa usafiri wa ndani, akisema mabasi makubwa yanapoingia katikati ya jiji yanaingilia shughuli zinazoweza kufanywa na wadau wengine katika mnyororo wa usafirishaji.

Huyu mwamba afatiliwe🙌🏽 atakuja kumili G7 tupu😀
11/08/2026

Huyu mwamba afatiliwe🙌🏽 atakuja kumili G7 tupu😀

Nasikia hili BUS 1 Bei yake unanunua NAVIGATOR 3😁😁🙌🏽ila UNAZI
09/08/2026

Nasikia hili BUS 1 Bei yake unanunua NAVIGATOR 3😁😁🙌🏽ila UNAZI

MPWAPWA NI MWENDO WA VIP
06/08/2026

MPWAPWA NI MWENDO WA VIP

Unahisi anakuja wapi??
06/08/2026

Unahisi anakuja wapi??

Imetokea Msembeta alfajiri ya leo💔 Isamilo na Libanika Uso kwa UsoMadereva na watumiaji wengine wa barabara, tuzingatie ...
02/08/2026

Imetokea Msembeta alfajiri ya leo💔 Isamilo na Libanika Uso kwa Uso

Madereva na watumiaji wengine wa barabara, tuzingatie sheria maan vyuma vitanyooshwa vitarudi ila uhai hauna comeback

D14💪🏽EXTRA
26/07/2026

D14💪🏽EXTRA

Ijuka🙌🏽
23/07/2026

Ijuka🙌🏽

Chuma yenu ipo emergence😁😁😁🙌🏽Zoom
20/07/2026

Chuma yenu ipo emergence😁😁😁🙌🏽

Zoom

EPX UMEME🙌🏽
20/07/2026

EPX UMEME🙌🏽

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255766627816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Safari Bora Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share