02/05/2026
Unasema sio Hekima kwa Mwanamke kuondoka kwenye ndoa kutokana na matendo ya mume wake kurudia rudia kutoka nje ya ndoa?
Wengine tunasema kumuacha mwanaume sababu katika nje ya ndoa sio sababu ya Msingi, ni kweli : K**a upo na unamtegemea Mungu kwa usahihi, nje ya hapo hakuna usalama!
Watu hawapendj kuongelea kuhusu, wanawake wazuri, wenye heshima, waaminifu, ambao wameishia kuosha ukimwi kutokwa kwa wanaume wao wasio waaminifu!
Pictures credit: Essien Vitalis Ngasso